Pages

Sunday, 9 March 2014

YANGA YAFA KIUME MISRI

Baada ya al ahly kuogoza kwa bao moja kwa bila ndai ya dak 90.
ndio hatua ya kupigiana penati ukafuata na matokeao ni kama ifuatavyo
Al Ahly wamepata penati 4 - 3 Young Africans
Waliopata Yanga Didier, Canavaro, Okwi huku waliokosa ni Oscar, Bahanuzi na Twite
Al ahly wanafuzu hatua ya 16 bora

0 comments:

Post a Comment