Baada ya al ahly kuogoza kwa bao moja kwa bila ndai ya dak 90.
ndio hatua ya kupigiana penati ukafuata na matokeao ni kama ifuatavyo
Al Ahly wamepata penati 4 - 3 Young Africans
Waliopata Yanga Didier, Canavaro, Okwi huku waliokosa ni Oscar, Bahanuzi na Twite
Al ahly wanafuzu hatua ya 16 bora
Sunday, 9 March 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment