FIAR PLAY baada ya mechi |
Winga wa statistics Lucky(Nani) akipata huduma ya kwanza mbele Ally (sina mudaa) |
USIOMBEEEE mfungaji wa mabao mawili ya GOLOSO Enock (Ozil) mwenye mpira akifanya mavitu yakeee mbele ya Mhere(Domayo) cr |
FAIR PLAY baada ya mechi wachezaji, wote wakipiga picha ya pamoja |
Beki wa GOLOSO FC Kway Yuda (Vidic) akiangalia mpira |
Lukuba(Janujaz) akitafuta mbinu ya kufunga |
Mwaipungu(Johnson) akipiga kanzu mtu |
Enock maarufu kana Ozil akijaribu kuwatoka viungo wa statistics Stev(Kagawa) kulia na Malibwadu(Gustavo) katikati mwenye jezi ya barcalona
Karim Stev (Kagawa) akichanja mbunga katikati ya dimbaa |
Beki la GOLOSO FC Joseph Mwaipungu (Johnson) akikokota mpira mbele ya lucky(nani) kulia na stev(kagawa) kushoto |
Winga wa statistics mwaka wa tatu Erick Nkya (Neymar) akitoa upinzani ndani ya goli la GOLOSO FC |
Timu ya GOLOSO FC waliosimama kutoka kulia ni Alex, Mwaipungu, Lukuba, Kenedy, Gwaser, Hamis, Enock, Yuda, Rajabu, na Danny, aliyechuchumaa ni golikipa Pitta |
0 comments:
Post a Comment