Pages

Sunday, 22 December 2013

MATUKIO MBALIMBALI MECHI YA GOLOSO FC NA STATISTICS3 SC

FIAR PLAY baada ya mechi
Winga wa statistics Lucky(Nani) akipata huduma ya kwanza mbele Ally (sina mudaa)
USIOMBEEEE mfungaji wa mabao mawili ya GOLOSO Enock (Ozil) mwenye mpira akifanya mavitu yakeee mbele ya Mhere(Domayo) cr
FAIR PLAY baada ya mechi wachezaji, wote wakipiga picha ya pamoja
Beki wa GOLOSO FC Kway Yuda (Vidic) akiangalia mpira
Lukuba(Janujaz) akitafuta mbinu ya kufunga
Mwaipungu(Johnson) akipiga kanzu mtu
Enock maarufu kana Ozil akijaribu kuwatoka viungo wa statistics Stev(Kagawa) kulia na Malibwadu(Gustavo) katikati mwenye jezi ya barcalona
Karim Stev (Kagawa) akichanja mbunga katikati ya dimbaa





Beki la GOLOSO FC Joseph Mwaipungu (Johnson) akikokota mpira mbele ya lucky(nani) kulia na stev(kagawa) kushoto
Winga wa statistics mwaka wa tatu Erick Nkya (Neymar) akitoa upinzani ndani ya goli la GOLOSO FC

Timu ya GOLOSO FC waliosimama kutoka kulia ni Alex, Mwaipungu, Lukuba, Kenedy, Gwaser, Hamis, Enock, Yuda, Rajabu, na Danny, aliyechuchumaa ni golikipa Pitta
Timu ya watakwimu mwaka wa tatu waliosimama kutoka kulia na Rojas, Majenga, Lucky, Stev, Malibwadu, Mrisho, Nkya, Matanga na Ally(sina muda) waliochuchumaa kutoka kulia ni Mhere(cr), Ephata, Sureee na Dutch

0 comments:

Post a Comment