Tuesday, 31 December 2013
MECHI ZA KESHOOO. EPL
KESHO
- Januari 1, 2014.
15:45 Swansea City vs Manchester City
18:00 Arsenal vs Cardiff City ...
18:00 Crystal Palace vs Norwich City
18:00 Fulham vs West Ham United
18:00 Liverpool vs Hull City
18:00 Southampton vs Chelsea
18:00 Stoke City vs Everton
18:00 Sunderland vs Aston Villa
18:00 West Bromwich Albion vs Newcastle United
20:30 Manchester United vs Tottenham Hotspur
- Januari 1, 2014.
15:45 Swansea City vs Manchester City
18:00 Arsenal vs Cardiff City ...
18:00 Crystal Palace vs Norwich City
18:00 Fulham vs West Ham United
18:00 Liverpool vs Hull City
18:00 Southampton vs Chelsea
18:00 Stoke City vs Everton
18:00 Sunderland vs Aston Villa
18:00 West Bromwich Albion vs Newcastle United
20:30 Manchester United vs Tottenham Hotspur
BAADHI YA VIWANJA MASHUHURI DUNIANI NA UWEZO WAKE
UINGEREZA
Old Trafford | Manchester United |
Ulifunguliwa | 1910...
Uwezo | Siti 75,811
Emirates Stadium | Arsenal FC |
Ulifugnuliwa | 2006
Uwezo | Siti 60,361
Anfield | Liverpool FC |
Ulifunguliwa | 1884
Uwezo | Siti 45,522
Stamford Bridge | Chelsea FC |
Ulifunguliwa mwaka | 1877
Uwezo | Siti 41,837
UJERUMANI
Allianz Arena | Bayern München & 1860 München
Ulifunguliwa | 2005
Uwezo | Siti 71,000
Signal Iduna Park | Borussia Dortmund
Ulifunguliwa | 1974
Uwezo | Siti 80,720 (25,000 wakisimama)
SPAIN
Camp Nou | FC Barcelona |
Ulifunguliwa | 1957
Uwezo | Siti 99,354
Estadio Santiago Bernabéu | Real Madrid CF |
Ulifunguliwa | 1947
Uwezo | Siti 85,454
ITALIA
San Siro | AC Milan na FC Inter |
Ulifunguliwa | 1926
Uwezo | Siti 80,018
Juventus Stadium | Juventus FC |
Ulifunguliwa | 2011
Uwezo | Siti 41,000
KLABU ZENYE MASHABIKI WENGI ZAIDI DUNIANI !
10. Juventus Ina Mashabiki Milioni 20
9. Bayern Munich Ina Mashabiki Milioni 24...
8. Inter Milan Ina Mashabiki Milioni 49
7. Liverpool Ina Mashabiki Milioni 71
6. AC Milan Ina Mashabiki Milioni 99
5. Arsenal Ina Mashabiki Milioni113
4. Chelsea Ina Mashabiki Milioni 135
3. Real Madrid Ina Mashabiki Milioni 174
2. Barcelona Ina Mashabiki Milioni 270
1. Manchester United Ina Mashabiki Milioni 354
Chanzo: Forbes football
Sunday, 29 December 2013
UNAIPATA HII MAN U
Name: Manchester United
Surname: Champion
Nickname: Red Devils
Age: 134 years
Birthday: 1878...
Hobbies: Victories
Location: Old Trafford
Titles: Unlimited
Colours: Red and white
LIKE: Trophies
Food: We eat all teams
Love: Red Devils
Wishes: All realized
Want to Say: Glory Glory Man United
Dreams: Reality (Other teams dreams not us )
Favorite saying: We always win!
House: You can find us at the Palace of Cups!
Happiness: When city,chelsea,li verpool lose.
products: Producer of goals
Tradition: Just stars and talents
History: Always legend
Surname: Champion
Nickname: Red Devils
Age: 134 years
Birthday: 1878...
Hobbies: Victories
Location: Old Trafford
Titles: Unlimited
Colours: Red and white
LIKE: Trophies
Food: We eat all teams
Love: Red Devils
Wishes: All realized
Want to Say: Glory Glory Man United
Dreams: Reality (Other teams dreams not us )
Favorite saying: We always win!
House: You can find us at the Palace of Cups!
Happiness: When city,chelsea,li verpool lose.
products: Producer of goals
Tradition: Just stars and talents
History: Always legend
Saturday, 28 December 2013
ASHANTI UNITED VS JKT RUVU KUJARIBU MATUMIZI YA TIKETI ZA ELEKTRONIKI JANUARY MOSI, CHAMAZI
Timu
za Ligi Kuu za Ashanti United na JKT Ruvu Stars zinapambana Januari
Mosi mwakani kati moja ya mechi za kujaribu matumizi ya tiketi za
elektroniki kwenye Uwanja wa Azam ulioko Chamazi, Dar es Salaam.
Viingilio
katika mechi hiyo itakayoanza saa 10 kamili jioni ni sh. 1,000 na sh.
2,000 ambapo tiketi zinapatikana kupitia M-Pesa na mawakala wa CRDB
Fahari Huduma. Tiketi zitaendelea kuuzwa hadi kipindi cha kwanza cha
mechi hiyo kitakapomalizika.
Mawakala
18 wa Fahari Huduma wanaouza tiketi hizo ni ABC Computer- Mtaa wa
Samora, Abraham Anangisye Mwampetele- Maji Matitu, Apex Security
Services- Mtaa wa Mibega, Kinyerezi, Athuman Fakhi Adam- Kongowe
Mbagala, Fedha Investment Limited- Pamba Road na Fuya Godwin Kimbita-
Tegeta Block.
Ghomme
Health & Education Limited-Bahari Beach, Herman Arbogast Tarimo-
Kigamboni, K- Finance Limited- Shekilango, Sinza, Koli Finance Limited-
Mtaa wa Samora, LB Pharmacy- Mtoni Kijichi, Lista Phares Barnabas-
Tabata Segerea na Maly Investment Company Limited- Mtaa wa Sikukuu,
Kariakoo.
Wengine
ni Micu Enterprises- Mtaa wa Congo, Kariakoo, S&D Collection
Company Limited- Mikocheni, Shoppers Plaza, Therry Investment Limited-
Tegeta Kibaoni, TSHS Distributors Limited- Mtoni kwa Aziz Ali na
Wemerick Independent Vehicle- Mtaa wa Boko.
Pia
mshabiki anaweza kununua tiketi kwa njia ya simu- mtandao wa Vodacom
kwa kupiga *150*03*02# ambapo atapata namba atakayoitumia kufanya malipo
kupitia MPESA. Katika MPESA namba ya malipo kwa TFF ambayo ndiyo
mshabiki ataitumia kufanya malipo ya tiketi (business number) ni 888800.
Vilevile mteja wa CRDB aliye katika mtandao anaweza kufanya malipo
kupitia CRDB simbanking.
Baada
ya kufanya maombi kupitia njia yoyote ya hizo tatu; MPESA, Fahari
Huduma na CRDB simbanking, mshabiki atapata namba ambayo ataitumia
ku-print tiketi yake kupitia mashine maalumu za kuchapia Tiketi ya TFF
zilizo katika ATM za CRDB kwenye maeneo yafuatayo;
Benki
ya CRDB tawi la Azikiwe, tawi la Holland House ambapo kuna mashine
mbili, tawi la Vijana, tawi la Kariakoo, ATM ya Mtaa wa Shaurimoyo
ambapo kuna mashine mbili na ATM ya CRDB iliyoko kituo cha mafuta cha
Kobil Sabasaba, Mtoni kwa Aziz Ali.
MECHI ZA EPL WEEKEND HII
LEO - Jumamosi 28 December 2013
15:45 West Ham United vs West Bromwich Albion
18:00 Aston Villa vs Swansea City...
18:00 Hull City vs Fulham
18:00 Manchester City vs Crystal Palace
18:00 Norwich City vs Manchester United
20:30 Cardiff City vs Sunderland
KESHO - Jumapili 29 December 2013
16:30 Everton vs Southampton
16:30 Newcastle United vs Arsenal
19:00 Chelsea vs Liverpool
19:00 Tottenham Hotspur vs Stoke City
15:45 West Ham United vs West Bromwich Albion
18:00 Aston Villa vs Swansea City...
18:00 Hull City vs Fulham
18:00 Manchester City vs Crystal Palace
18:00 Norwich City vs Manchester United
20:30 Cardiff City vs Sunderland
KESHO - Jumapili 29 December 2013
16:30 Everton vs Southampton
16:30 Newcastle United vs Arsenal
19:00 Chelsea vs Liverpool
19:00 Tottenham Hotspur vs Stoke City
KOMBE LA MAPINDUZI: KOCHA WA ITALIA PRANDELLI MGENI RASMI SIMBA VS AFC LEOPARDS
MAANDALIZI
ya kombe la Mapinduzi linalotarajia kuanza kutimua vumbi januari mosi
mwakani yanakwenda vizuri na timu zote zilizothibitisha kushiriki
zinatarajia kuwasili desemba 31 mwaka huu.
Msemaji
wa kamati ya mashindano , Farouk Karim amesema kuwa timu za Tusker fc,
AFC Leopard za Kenya, KCC, URA za Uganda , Simba sc, Yanga, Azam fc na
Mbeya City za Tanzania bara tayari zimeshathibitisha kushiriki na kamati
ya maandalizi imeshakamilisha taratibu za kuzipokea.
SIMBA
imepangwa kufungua pazia la michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kucheza
na AFC Leopards ya Kenya Januari Mosi wakati Yanga wakishuka dimbani
siku inayofuata kuikabili Tusker FC.
Karim
amesema mgeni rasmi katika mechi ya ufunguzi itakayopigwa januari mosi
majira ya saa mbili usiku katika uwanja wa Aman kisiwani Unguja baina ya
Simba sc dhidi ya AFC Leopard ya Kenya atakuwa kocha mkuu wa timu ya
Taifa ya Italia, Cesare Prandelli.
Pambano
la Simba na Leopards litatanguliwa na mechi kati ya wenyeji KMKM na KCC
ya Uganda litakalopigwa saa 10 jioni kwenye uwanja huohuo.
“Ninavyozungumza
na wewe muda huu, Prandelli yupo hapa Zanzibar mapumzikoni na tayari
amekubali kufungua michuano hii yenye maana kubwa katika miaka 50 ya
mapinduzi ya Zanzibar”. Alisema Karim.
Karim alisema katika michuano ya mwaka huu viwanja viwili vitatumika ambavyo ni Gombani kisiwani Pemba na Aman Kisiwani Unguja.
“Uwanja
wa Gombani upo katika hali nzuri na unavyojua una nyasi za bandia.
Uwanja wa Aman umefanyiwa ukarabati mkubwa na hivi sasa wataalamu kutoka
China wapo hatua za mwisho kabisa kukamilisha shughuli yao”. Alisema
Karim.
Mratibu
huyo alitoa wito kwa wadau, wapenzi wa soka visiwani Zanzibar
kujitokeza kwa wingi kwani kamati ya mashindano inategemea mapato ya
milangoni kufanikisha mipango.
“Michuano
hii inagharimu zaidi ya shilingi milioni 600, hatuna fedha hizo,
tunategemea mapato ya milangoni, hivyo mashabiki kufika kwao kwa wingi
ndio mafanikio yetu”. Aliomba Karim.
Aidha
ameziomba taasisi na makampuni ya bara na visiwani kujitokeza kufanya
matangazo katika michuano hiyo ili angalau wapate pesa za kuendeshea
michuano hiyo.
Michuano
iliyopita, Azam fc walitwaa ubingwa, lakini mwaka huu kuna changamoto
mpya hasa kutokana na uwepo wa timu za Dar Young Africans na Mbeya City
ambazo hazikushiriki.
Mechi
zote za hatua ya makundi na robo fainali zitafanyika kwenye viwanja wa
Gombani Pemba na Aman Unguja, wakati nusu fainali na fainali zitapigwa
kwenye Uwanja wa Amani.
Katika
michuano iliyopita Simba waliishia nusu fainali baada ya kuondolewa na
Azam FC kwa mikwaju ya penalti 5-4 baada ya mechi kumalizika kwa sare ya
2-2 hata baada ya kuongezwa dakika 30.
Thursday, 26 December 2013
16 BORA YENYE MASHIKO UEFA
Wednesday, 25 December 2013
WINGA MACHACHACHARI WA SIMBA NIDHAMU YAMPA MATUNDA

Ramadhani Singado 'Messi'
WINGA machachari wa Simba, Ramadhani Singano 'Messi' amesema pamoja na sifa na pongezi anazomwagiwa na mashabiki wa soka kutokana na kuongeza kiwango katika siku za karibuni, hatabweteka na kuvimba kichwa badala yake atazidi kujituma ili aweze kutimiza ndoto za kutamba kimataifa.
Aidha, mchezaji huyo aliyeng'ara kwenye pambano la Nani Mtani Jembe, na kusaidia Simba kuicharaza Yanga mabao 3-1, amewataka wachezaji wenzake kuzingatia mazoezi, kujituma, kujitunza na kuzingatia nidhamu ndani na nje ya uwanjani iwapo wanataka kufika mbali.
Akizungumza na GOLOSO katika mahojiano maalum juzi, Messi alisema anawashukuru wote wanaompongeza na kummwagia sifa kwa kung'ara pambano la Simba na Yanga, lakini alisema anachukua pongezi hizo kama changamoto kwake za kuongeza juhudi ili afike mbali zaidi.
Singano alisema hawezi kubweteka na kuvimba kichwa kwa pongezi hizo kwa kutambua kuwa mashabiki wa soka ni 'vigeugeu' wanaoweza kumgeuka wakati wowote atakapocheza chini ya kiwango, pia malengo yake ni kufika mbali zaidi na mahali alipo sasa.
"Nawashukuru
wanaonimwagia pongezi, namshukuru Mungu kwa kunisaidia kuwa hivi
nilivyo pamoja na makocha na wachezaji wenzangu, ila siwezi kubweteka
badala yake nitajituma zaidi ili nifike mbali," alisema.
Singano
alisema kiu yake siyo kucheza Simba tu na Taifa Stars, bali kucheza
soka la kulipwa kitu anachoamini anaweza kutimiza kwani uwezo anao na
hasa akimtegemea Mungu kumpa umri na siha njema.
Winga
huyo, mmoja wa wachezaji wakiopandishwa kikosi cha kwanza cha Simba
kutoka timu B, amekuwa gumzo ndani ya kikosi hicho na Taifa Stars
kutokana na uwezo wake wa kupiga chenga, mbio na kufunga.
SOURCE: micharazomitupu.com
MECHI ZA LEO ALHAMISI EPL
15:45 Hull City vs Manchester United
18:00 Aston Villa vs Crystal Palace
18:00 Cardiff City vs Southampton
18:00 Chelsea vs Swansea City
18:00 Everton vs Sunderland
18:00 Newcastle United vs Stoke City
18:00 Norwich City vs Fulham
18:00 Tottenham Hotspur vs West Bromwich Albion
18:00 West Ham United vs Arsenal
20:30 Manchester City vs Liverpool
18:00 Aston Villa vs Crystal Palace
18:00 Cardiff City vs Southampton
18:00 Chelsea vs Swansea City
18:00 Everton vs Sunderland
18:00 Newcastle United vs Stoke City
18:00 Norwich City vs Fulham
18:00 Tottenham Hotspur vs West Bromwich Albion
18:00 West Ham United vs Arsenal
20:30 Manchester City vs Liverpool
JAMES KISAKA AFARIKI DUNIA, MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI AMINA.
Shirikisho
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha
aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, James Kisaka (57) kilichotokea leo
asubuhi (Desemba 25 mwaka huu) katika Hospitali ya Burhani, Dar es
Salaam.
Msiba
huo ni mkubwa katika familia ya mpira wa miguu kwani Kisaka kabla ya
kuwa kocha alikuwa mchezaji katika nafasi ya kipa. Mbali ya Simba, timu
nyingine alizowahi kudakia ni Ndovu ya Arusha, Volcano ya Kenya na Small
Simba ya Zanzibar.
Akiwa
mwanafunzi Shule ya Sekondari Tambaza jijini Dar es Salaam aliwahi
kuchezea timu za Oysterbay Stars, Eleven Stars ya Msasani, Sigara wakati
ikicheza Ligi ya Temeke na Nyota Nyekundu kabla ya kutua Simba.
Pia
alikuwemo kwenye timu ya Taifa ya vijana iliyokwenda Zimbabwe kwenye
sherehe za uhuru wan chi hiyo mwaka 1980. Vilevile alikuwa mmoja wa
wachezaji waliounda kombaini ya Tanzania ya UMISSETA akiwa na akina Said
George, Nico Njohole, George Kulagwa na wengine. Hivyo mchango wake
katika mchezo huu tutaukumbuka daima.
Kwa
mujibu wa kaka wa marehemu, Benny Kisaka, James alikuwa akisumbuliwa na
ugonjwa wa miguu kufa ganzi na matatizo ya kutoona vizuri.
Msiba uko nyumbani kwake Mbezi Mwisho (Kwa Yusuf), na anatarajia kuzikwa nyumbani kwao Kijiji cha Lusanga, Muheza mkoani Tanga.
TFF
tunatoa pole kwa familia ya marehemu Kisaka, klabu ya Simba na Chama
cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) na kuwataka kuwa na
subira na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha msiba huo mzito.
Marehemu Kisaka ameacha mjane na watoto wanne. Bwana alitoa, Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe.
Monday, 23 December 2013
BREAKING NEWS: TRESOR MPUTU AMUKIMBIA RASMI SAMATA TP MAZEMBE
TAARIFA KUTOKA TFF
Mechi
ya Nani Mtani Jembe kati ya Yanga na Simba iliyochezwa juzi (Desemba 21
mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na Simba kuibuka na ushindi
wa mabao 3-1 imeingiza sh. 422,611,000.
Mapato
hayo ni kutokana na washabiki 52,589 waliokata tiketi kushuhudia mechi
hiyo kwa viingilio vya sh. 5,000, sh. 7,000, sh. 10,000, sh. 15,000, sh.
20,000 na sh. 40,000. Kiingilio cha sh. 5,000 ndicho kilichovutia
watazamaji wengi ambapo walikuwa 19,044.
Asilimia
18 ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa kutokana na mapato
hayo ni sh. 64,466,084.75 wakati gharama za kuchapa tiketi ni sh.
7,488,000.
Mgawo
mwingine ilikuwa kama ifuatavyo; kila klabu imepata sh. 117,470,066.61,
asilimia 15 ya uwanja ni sh. 52,598,537.29, Mfuko wa Maendeleo ya Mpira
wa Miguu (FDF) sh. 35,065,691.53 wakati gharama za mchezo zilikuwa sh.
28,052,553.22.
*WAKATI HUO HUO MALINZI, MKUTANO WA WAANDISHI WA HABARI
Rais
wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi atakuwa
na mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika kesho (Desemba 24 mwaka
huu).
Mkutano huo utafanyika saa 6 kamili mchana kwenye ukumbi wa mikutano wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).
MESSI, OKWI, NA KASEJA AMUFUKIZISHA KAZI KOCHA YANGA
MUDA mfupi uliopita klabu ya soka ya Yanga imetangaza
kusitisha mkataba na kocha wake Ernest Brandts baada ya kutoridhishwa na
mwenendo wa timu hiyo.
Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga, Baraka Kizuguto, mkataba wa Brandts ambaye ni raia wa Uholanzi umesitishwa rasmi leo hii asubuhi na ameshakabidhiwa barua ya kumtaarifu juu ya hali hiyo.
“Tumesitisha mkataba na kocha wetu na ameshakabidhiwa barua yake, huo ni uamuzi wa uongozi mzima wa Yanga, kila kitu kimeenda sawa katika kuachana naye,” alisema Kizuguto.
Tetesi za Brandts kutimuliwa zilizagaa jijini Dar es Salaam tangu jana muda mfupi baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yussuf Manji kwamba hata kama klabu itaamua kuachana na kocha huyo itafuata taratibu zote.
Uamuzi huo wa Yanga unaonekana pia kuchagizwa zaidi na kipigo cha mabao 3-1 dhidi ya Simba katika mchezo maalum wa kirafiki maarufu kama Nani Mtani Jembe uliochezwa wikiendi iliyopita Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. ambao Ramadhani Singano Messi ndo alikuwa nyota wa mchezo
Kingine ambacho Brandts amefanya kufukuzwa ni kulalamika wazee wa kazi kusajili wachezaji bila kumuuliza ambao mara kwa mara kocha huyoo alikuwa analalamika usajili wa Kaseja maana alikuwa na magolikipa wawili wazur na alilalama ujio wa Emanuel Okwi maana halikuwa chaguo lake .
Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga, Baraka Kizuguto, mkataba wa Brandts ambaye ni raia wa Uholanzi umesitishwa rasmi leo hii asubuhi na ameshakabidhiwa barua ya kumtaarifu juu ya hali hiyo.
“Tumesitisha mkataba na kocha wetu na ameshakabidhiwa barua yake, huo ni uamuzi wa uongozi mzima wa Yanga, kila kitu kimeenda sawa katika kuachana naye,” alisema Kizuguto.
Tetesi za Brandts kutimuliwa zilizagaa jijini Dar es Salaam tangu jana muda mfupi baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yussuf Manji kwamba hata kama klabu itaamua kuachana na kocha huyo itafuata taratibu zote.
Uamuzi huo wa Yanga unaonekana pia kuchagizwa zaidi na kipigo cha mabao 3-1 dhidi ya Simba katika mchezo maalum wa kirafiki maarufu kama Nani Mtani Jembe uliochezwa wikiendi iliyopita Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. ambao Ramadhani Singano Messi ndo alikuwa nyota wa mchezo
Kingine ambacho Brandts amefanya kufukuzwa ni kulalamika wazee wa kazi kusajili wachezaji bila kumuuliza ambao mara kwa mara kocha huyoo alikuwa analalamika usajili wa Kaseja maana alikuwa na magolikipa wawili wazur na alilalama ujio wa Emanuel Okwi maana halikuwa chaguo lake .
Sunday, 22 December 2013
MANJI AWAFARIJI WANA YANGA BAADA YA KIPIGO
Mwenyekiti
wa klabu ya Young Africans Bw. Yusuf Manji amewaomba wanachama, wapenzi
na washabiki wasivunjike moyo kwa matokeo ya jana ya mchezo wa kirafiki
dhidi ya ya Simba SC, mechi iliyochezwa katika dimba la Uwanja wa Taifa
jijini Dar es salaam.
Akiongea
na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga makutano ya mitaa
wa Twiga/Jangwani Manji amesema anajua wanachama, na wapenzi wameumia
sana hakuna aliyefurahishwa na matokeo ya kufungwa mabao 3-1 lakini
isiwakatishe tamaa uongozi unafanyia kazi mapungufu yaliyojitokeza.
"Mechi
ya jana ilikuwa ni bonanza, ndio maana hapakuwa na timu iliyopata
pointi katika mchezo huo zaidi ya kusherehekea, sisi tumepata zawadi ya
milion 98 wakati wenzetu Simba SC wamepata milion 1, hivyo zaidi sisi
tumeendelea kuimarika kiuchumi zaidi wenzetu wameishia kusherehekea"
alisema Manji.
Aidha
amesema wachezaji zaidi ya tisa wa Yanga hawajapata muda wa kupumzika
tangu mwezi Novemba baada ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa Ligi
Kuu kwani walijiungana timu za Taifa na wamekua huko kwa takribani mwezi
mzima bila kupumzika tofauti na wenzetu Simba SC ambao hawana wachezaji
wengi timu ya Taifa.
Manji
pia alisema anawapa hongera timu ya Simba SC kwa kushinda bonanza la
jana, amesema mchezo wa jana walicheza vizuri hivyo wanastahili pongezi
kwa hilo.
Akijibu
maswali ya waandishi wa habari juu ya mapungufu yaliyojitokez katika
mchezo wa jana, amesema kamati husika inayafanyia kazi na kwa kuwa yeye
anasafiri leo kwenda nje ya nchi majukumu yote amemkabidhi makamu
mwenyekiti Clement Sanga mpaka yeye atakaporejea.
MATUKIO MBALIMBALI MECHI YA GOLOSO FC NA STATISTICS3 SC
FIAR PLAY baada ya mechi |
Winga wa statistics Lucky(Nani) akipata huduma ya kwanza mbele Ally (sina mudaa) |
USIOMBEEEE mfungaji wa mabao mawili ya GOLOSO Enock (Ozil) mwenye mpira akifanya mavitu yakeee mbele ya Mhere(Domayo) cr |
FAIR PLAY baada ya mechi wachezaji, wote wakipiga picha ya pamoja |
Beki wa GOLOSO FC Kway Yuda (Vidic) akiangalia mpira |
Lukuba(Janujaz) akitafuta mbinu ya kufunga |
Mwaipungu(Johnson) akipiga kanzu mtu |
Enock maarufu kana Ozil akijaribu kuwatoka viungo wa statistics Stev(Kagawa) kulia na Malibwadu(Gustavo) katikati mwenye jezi ya barcalona
Karim Stev (Kagawa) akichanja mbunga katikati ya dimbaa |
Beki la GOLOSO FC Joseph Mwaipungu (Johnson) akikokota mpira mbele ya lucky(nani) kulia na stev(kagawa) kushoto |
Winga wa statistics mwaka wa tatu Erick Nkya (Neymar) akitoa upinzani ndani ya goli la GOLOSO FC |
Timu ya GOLOSO FC waliosimama kutoka kulia ni Alex, Mwaipungu, Lukuba, Kenedy, Gwaser, Hamis, Enock, Yuda, Rajabu, na Danny, aliyechuchumaa ni golikipa Pitta |
Saturday, 21 December 2013
GOLOSO FC WAIFUNGA TIMU YA STATISTICS MWAKA WA TATU MABAO MATATU KWA MOJA
Timu ngumu ya GOLOSO FC leo imeweza kuwafunga timu ya watakwimu mwaka wa tatu mabao matatu kwa moja, mabao ya GOLOSO FC yalifungwa na hamis (1) dak35 na enock(2) dk65 na 73 huku la kufutia machozi la wanastatistics likifungwa na mrishoo(ronadhino)dak 86
VIKOSI VYA LEO
GOLOSO FC
1)Pitta-Kaseja
2)Mwaipungu-Johnson
3)Gwaser-Evra
4)Yuda-Vidic
5)Danny-Chicharito
6)Enock-Ozil
7)Rajabu-Wilshere
8)Hamis-Carzola
9)Kenedy-Torres
10)Alex-Mata / Dakani-Modric
11)Lukuba-Janujaz
STATISTICS SC
1)Mrishoo-Ronadhino
2)Mhere-Domayo / Ally
3)Ephata-Sagna
4)Dutch-T.Silva
5)Majenga-Masherano
6)Maribwadu-Gustavo
7)Matanga-Chicarito / Rojas-Dida
8)Stev-Kagawa
9)Suree-Ba
10)Nkya-Neymar
11)Lucky-Nani
VIKOSI VYA LEO
GOLOSO FC
1)Pitta-Kaseja
2)Mwaipungu-Johnson
3)Gwaser-Evra
4)Yuda-Vidic
5)Danny-Chicharito
6)Enock-Ozil
7)Rajabu-Wilshere
8)Hamis-Carzola
9)Kenedy-Torres
10)Alex-Mata / Dakani-Modric
11)Lukuba-Janujaz
STATISTICS SC
1)Mrishoo-Ronadhino
2)Mhere-Domayo / Ally
3)Ephata-Sagna
4)Dutch-T.Silva
5)Majenga-Masherano
6)Maribwadu-Gustavo
7)Matanga-Chicarito / Rojas-Dida
8)Stev-Kagawa
9)Suree-Ba
10)Nkya-Neymar
11)Lucky-Nani
SIMBA NDIYE MTANI JEMBE,YAIONESHA SOKA SAFI YANGA, YAICHAPA 3-1
Wachezaji wa Simba na Yanga wakisalimiana.
Kikosi cha Simba waliosimama kutoka kulia kocha Logarusic, Joseph Owino, Jonas Mkude, Hamis Tambwe, Donard Musoti, Henry Joseph, na kocha msaidizi Seluman Matola waliochuchumaa kutoka kulia ni Issa Rashidy, Awadh Juma, Ivo Mapunda, Haruna Chanongo, Haruna Shamte na Salum Said |
Kikosi cha Yanga kutoka kulia waliosimama David Luhende. Haruna Niyonzima, Frank Domayo, Mrisho Ngassa, Mbuyu Twitwe, Kelvin Yondani, Athumain Idi, Hamis Kiiza, Nadir Haroub, na Kavumbangu aliyeinama na golikipa Juma Kaseja |
Benchi la timu ya Simba.
Benchi la Ufundi la Yanga.
Henry Joseph wa Simba (kushoto) akichuana na beki wa Yanga, David Luhende.
Henry Joseph wa Simba (kushoto) akichuana na beki wa Yanga, David Luhende.
Mashabiki wa Simba wakishangilia bao la kwanza la Hamis Tambwe.
Raha ya ushindi .
Furaha kwa Simba.
Hamisi Kiiza akitafuta mbinu za kumtoka, Ramadhani singano.
Ivo Mapunda akiruka juu kuokoa moja ya hatari langoni mwake.
Mashabiki wa Yanga wakiwa hawaamini kilichotokea uwanjani baada ya kuchapwa 3-1 na watani zao wa jadi Simba.
Juma Kaseja akibembelezwa na Mbuyu Twite baada ya kusababisha goli la tatu
Mmoja wa mashabiki wa Yanga akitolewa nje baada ya kuzimia uwanjani.
Emmanuel Okwi akimtoka beki wa Simba.
Wachezaji wa akiba wa Simba wakishangilia baada ya filimbi ya mwisho.
Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic akishangilia baada ya timu yake kuibuka na ushindi wa 3-1.
Wachezaji wa Simba
wakimnyanyua juu kocha wao, Zdravko Logarusic mara baada ya kumalizika kwa
mchezo maalumu wa Nani Mtani Jembe uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini
Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-1.Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe akimkabidhi kombe nahodha wa Simba Haruna Shamte.
Kapteni wa Simba HARUNA SHAMTE akinyanyua kombe juuuuu |
Simba wakifurahi na mwali wao baada ya kumshida Yanga |
Baadhi ya bechi la simba na wachezaji Awadhi(16), Shamte(26) Hamud(24) na Berko nyuma Wakipiga picha na kombe |
Subscribe to:
Posts (Atom)