Timu ngumu ya GOLOSO FC leo imeweza kuwafunga timu ya watakwimu mwaka wa tatu mabao matatu kwa moja, mabao ya GOLOSO FC yalifungwa na hamis (1) dak35 na enock(2) dk65 na 73 huku la kufutia machozi la wanastatistics likifungwa na mrishoo(ronadhino)dak 86
VIKOSI VYA LEO
GOLOSO FC
1)Pitta-Kaseja
2)Mwaipungu-Johnson
3)Gwaser-Evra
4)Yuda-Vidic
5)Danny-Chicharito
6)Enock-Ozil
7)Rajabu-Wilshere
8)Hamis-Carzola
9)Kenedy-Torres
10)Alex-Mata / Dakani-Modric
11)Lukuba-Janujaz
STATISTICS SC
1)Mrishoo-Ronadhino
2)Mhere-Domayo / Ally
3)Ephata-Sagna
4)Dutch-T.Silva
5)Majenga-Masherano
6)Maribwadu-Gustavo
7)Matanga-Chicarito / Rojas-Dida
8)Stev-Kagawa
9)Suree-Ba
10)Nkya-Neymar
11)Lucky-Nani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment