Thursday, 30 January 2014
MBWANA SAMATA MCHEZAJI BORA WA MWAKA TP MAZEMBE
Mshambuliaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka na mashabiki wa klabu yake ya TP Mazembe katika ya mchezaji bora wa mwaka wa klabu hiyo iliyopewa jina la "Corbeau d'Or". Samatta ambaye amepewa jina la utani la "Samagoal" na mashabiki wa TP Mazembe aliwabwaga wachezaji wengine watano waliokuwa wakishindana.
kura zilikuwa kama ifuatavyo
1. Mbwana Samatta – Kura 248
2. Asante Solomon – Kura 219
3. Robert Kidiaba – Kura 200
4. Nathan Sinkala – Kura 97
5. Rainford Kalaba – Kura 67
MSIMAMO WA MOU JUU YA ETO'O CHELSEA
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amefunguka kuhusu mustakabali wa mshambuliaji wake Samuel Eto'o. Akiulizwa na waandishi wa habari kuwa Eto'o atabaki mwisho wa msimu au ataondoka, Mourinho alisema ' Samuel alipenda mwenyewe kuja Chelsea, aliniambia hajawahi kucheza ligi ya England na angependa kujiunga na Chelsea ili atengeneze historia ya kucheza ligi kuu ya England. Mwisho wa msimu huu atakuwa ameshafanikisha nia yake ya kucheza EPL, sasa... siwezi kujua kama atabaki au ataondoka. Lazima mjue kuwa Eto'o hataki kushinda kombe lolote, hana haja na pesa au kuwa mchezaji bora, anachokifanya sasa hivi ni kufurahia maisha yake kwenye soka. Alisaini mkataba wa mwaka mmoja na nilishamsikia akisema atamalizia historia yake ya soka kwenye klabu iliyomkuza Real Mallorca, kwahivyo mwisho wa msimu huu yeye ndiye ataamua kubaki au kuondoka, lakini mimi ningependa abakie kwasababu anatusaidia sana kama timu'. Eto'o mwenye umri wa miaka 34 ameshashinda vikombe vyote vya ligi za Italia na Hispania, alishawahi kuwa mchezaji bora wa Afrika na alishawahi kuwa mchezaji anayelipwa zaidi duniani.
Sunday, 26 January 2014
INTER BLOCKS CUP YAFIKIA TAMATI
THE CHAMPION OF INTER BLOCKS CUP
IS
BLOCK (RRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR)
Mashidano ya inter blocks cup imefikia tamati katika viunga vya COED udom kwa vijana kutoka kijijini (ujasi) BLOCK(R) kuwa mabingwa wa kwanza wa michuano hii kwa kuwafunga watoto wa mwarabu BLOCK(H) kwa penaty (4 kwa 3)
WASHIDI WA INTER BLOCKS CUP
-zawadi mbuzi watatu na kombe
-zawadi mbuzi mmoja na cret moja
-zawadi cret mbili za soda
WASHIDI KWA AKINA DADA
-zawadi mbuzi moja na kombe
MSHIDI WA PILI
-Kombaini ya block(L,N,&O)
-zawadi cret mbili za soda
TUZO MBALI MBALI KATIKA MICHUANO HII
-zawadi jezi orginal
-mabao sita(6)
-mshambuliaji kutoka block(H)
-zawadi jezi orginal
-kapteni kutoka block (I)
-zawadi jezi orginal
-kapteni kutoka block(E)
-zawadi jezi orginal
-zawadi jezi orginal
-mshambuliaji kutoka block(H)
-goli kati ya block(F) vs block (H) nusu fainali
-zawadi jezi orginal
- kapteni wa kombaini ya block (A,D,&K)
-zawadi jezi orginal
MATUKIO MBALI MBALI YA MECHI ZA LEO
IS
BLOCK (RRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR)
Mashidano ya inter blocks cup imefikia tamati katika viunga vya COED udom kwa vijana kutoka kijijini (ujasi) BLOCK(R) kuwa mabingwa wa kwanza wa michuano hii kwa kuwafunga watoto wa mwarabu BLOCK(H) kwa penaty (4 kwa 3)
ZAWADI(MBUZI) |
WASHIDI WA INTER BLOCKS CUP
MSHIDI WA KWANZA
-Block (R)-zawadi mbuzi watatu na kombe
MASAI KAPTENI WA BLOCK (R) AKISALIMIANA NA MGENI RASMI ILI KUPEWA KOMBE LAO |
MSHIDI WA PILI
-Block (H)-zawadi mbuzi mmoja na cret moja
GERRAD AKIPOKEA MPUNGA NA MBUZI WAO |
MSHIDI WA TATU
-Block (I)-zawadi cret mbili za soda
KITARIMA KAPTENI WA BLOCK(I) AKIPOKEA MPUNGA WA MSHIDI WA TATU |
WASHIDI KWA AKINA DADA
MSHIDI WA KWANZA
-Kombaini ya Block (A,D&K)-zawadi mbuzi moja na kombe
MARIAM AKIKABIDHIWA KOMBE NA MGENI RASIMI |
MSHIDI WA PILI
-Kombaini ya block(L,N,&O)
-zawadi cret mbili za soda
TUZO MBALI MBALI KATIKA MICHUANO HII
MCHEZAJI BORA WA MICHUANO
-beki kutoka block(H)-zawadi jezi orginal
BEKI KISIKI LA BLOCK(H) wa pili kutoka kushoto ndio MCHEZAJI BORA |
MFUNGAJI BORA
-Danny-mabao sita(6)
-mshambuliaji kutoka block(H)
-zawadi jezi orginal
MCHEZAJI MWENYE NIDHAMU
-Kitarima robert-kapteni kutoka block (I)
-zawadi jezi orginal
KAPTENI BORA WA MICHUANO
-Steven Karim-kapteni kutoka block(E)
-zawadi jezi orginal
GOLIKIPA BORA
-kutoka block (I)-zawadi jezi orginal
GOLI BORA
-Sekenja Mwenga-mshambuliaji kutoka block(H)
-goli kati ya block(F) vs block (H) nusu fainali
-zawadi jezi orginal
MCHEZAJI BORA KWA AKINA DADA
-Mariam- kapteni wa kombaini ya block (A,D,&K)
-zawadi jezi orginal
MATUKIO MBALI MBALI YA MECHI ZA LEO
KIKOSI CHA KOMBAINI YA BLOCK(A,D,&K) |
KIKOSI CHA KOMBAINI YA BLOCK(L,N,&O) |
. MGENI RASIMI AMBAYE NI RAISI WA KITIVO CHA ELIMU UDOM |
MARIAM AKIIFUNGIA TIMU YAKE BAO KWA NJIA YA PENATI |
KAPTENI WA KOMBAINI YA BLOCK(L,N&O) AKIWA KAZINI |
MABINGWAAAAAA BLOCK(R) |
RAISI MWAMBENE IKIWA MEZA KUU NA MAKOMBE |
JAMAA ALIKUWEPO KUWAPA SAPOTI BLOCK(R) |
KILICHOWAKOSESHA KOMBE BLOCK(H) NI HIKI ALIWAKUWA WAMEJITANGAZA MABINGWA KABLA YA MECHI IKAWA KINYUME CHAKEEE |
WANAUMATI WALIKUWEPO KUGAWA KONDOMU UWANJANI |
MWANAGOLOSO MOLLA JEROME WA KWANZA KUSHOTO IKIWA NA BOX LA WANAUMATI |
BLOCK(R) WAKISHAGILIA |
FURAHA NA MWARI JUUUUUUUU |
KAPTENI WA BLOCK(H) AKILIA BAADA YA MECHI AKIWA NA MENEJA WA TIMU YAKE |
MASHABIKI NAO WALIFURIKA |
Friday, 24 January 2014
RATIBA LIGI KUU TANZANIA WEKENDI HII
JUMAMOSI TAR:25-JANUARY-2014
1)ASHATI VS YANGA
uwanja: taifa Dar es salaam
2)AZAM VS MTIBWA SUGAR
uwanja: chamazi comlex Dar
3) COASTAL UNION VS OLJORO JKT
uwanja: mkwakwani Tanga
4)KAGERA SUGAR VS MBEYA CITY
uwanja:kaitaba Kagera
JUMAPILI TAR:26-JANUARY-2014
1)SIMBA VS RHINO RANGERS
uwanja: taifa Dar
2)JKT RUVU VS MGAMBO SHOOTING
uwanja: azam complex Dar
1)ASHATI VS YANGA
uwanja: taifa Dar es salaam
2)AZAM VS MTIBWA SUGAR
uwanja: chamazi comlex Dar
3) COASTAL UNION VS OLJORO JKT
uwanja: mkwakwani Tanga
4)KAGERA SUGAR VS MBEYA CITY
uwanja:kaitaba Kagera
JUMAPILI TAR:26-JANUARY-2014
1)SIMBA VS RHINO RANGERS
uwanja: taifa Dar
2)JKT RUVU VS MGAMBO SHOOTING
uwanja: azam complex Dar
Thursday, 23 January 2014
MOHAMED SALAH ATUA CHELSEA
![]() |
Klabu ya Chelsea imeipiku klabu ya Liverpool kwa kumsajili mshambuliaji wa FC Basel, Mohamed Salah maarufu kama messi wa misri kwa paundi mil 11. Mshambuliaji huyu tayari alikuwa kwenye hatua za mwisho kujiunga na klabu ya Liverpool na alikwenda jijini Liverpool kukutana wa viongozi wa klabu ili kumalizia makubaliano ya malipo yake. Makubaliano baina ya Liverpool na FC Basel yamechukua muda kutokana na kutokukubaliana kuhusu ada ya uhamisho. Klabu ya FC Basel ilikuwa ikihitaji paundi mil 12 wakati klabu ya Liverpool ilikuwa tayari kulipa paundi mil 5 hadi 8. Mvutano huu baina ya Liverpool na FC Basel ndiyo uliyoipa mwanya klabu ya Chelsea kumnasa Salah kutoka mikononi mwa Liverpool baada ya kuchukua paundi mil 37 kutoka man united kwa mauzo ya Juan Mata boss wa chelsea hakufanya kosa ambapo aliweza kuwanyang`anya livepool mikononi si mara ya kwanza kwa clabu ya chelsea kupora wachezaji kutoka timu mbalimbali chini ya mou aliweza kuwafanyia hivyo man u kwa mikel obbi akiwa uwanja wa ndenge, pia tottenham walikuwa na uhakika kwa asilimia 99 wamemupata Willian ila dakika za mwisho mou akamchomoa, ndicho kilichotokea kwa liverpool
GOLOSO LA SOKA
Na Yossima Sitta & yudathadei kway
SOKA
KATIKA UHALISIA WAKE
Swali
likiulizwa, Je ni mchezo gani maarufu zaidi duniani? Bado linabaki kuwa swali
lenye utata kwa maana ya kwamba umaarufu kimchezo unaweza kuwa ;mchezo
unaoangaliwa na wadau walio wengi kwa maana ya kuamasika na mchezo husika au
inaweza kuwa mchezo uliochezwa kwa muda mrefu zaidi duniani au unaweza kuwa
mchezo wenye kuingiza mapato zaidi duniani. Katika kulitazama hili la mchezo
wenye hamasa zaidi duniani kwa kuangaliwa na kufuatiliwa na walio wengi, tafiti
za kina zimefanyika kimataifa na imebainika kuwa watu wapatao 3.3-3.5 bilioni kutoka katika
mabara mbalimbali (Ulaya,Africa, Asia ,Americas ,n.k) ni wakereketwa wa mchezo
wa soka, mpira wa miguu. Takwimu hizi ni kati ya jumla ya watu wanao kadiriwa
kufikia billion 7.137 Dunia nzima kulingana na taarifa iliotolewa na United
States Census Bureau (USCB ) hapo 12,March,2012. Tukiingia ndani zaidi kitafiti inaonyesha mchezo huu unakadiriwa kuchezwa na wachezaji
million 250 katika nchi zipatazo 200 na kudhihirisha kuwa mchezo maarufu zaidi
katika sayari hii. Michezo inayofuata kwa umashuhuri ni pamoja na Cricket wenye
wakereketwa wapatao 2-3 billion. Field Hockey wenye mashabiki wanaofikia 2-2.2
billion na mchezo huu ni maarufu zaidi katika nchi za Asia, Ulaya, Australia, n.k
ukifuatiwa na Tennis mchezo wenye mashabiki wapatao billion 1 zaidi katika nchi
za Ulaya, Americas na Asia.
Katika
kujikita kisoka zaidi kuna sababu nyingi zinazo jaribu kuthibitisha ni kitu gani
kinachofanya mpaka watu kuvutiwa na mchezo huu zaidi na hata wengi wao kudiriki
kukiri ya kuwa hawana sababu maalumu isipokuwa wamejikuta wakiupenda tu. Hili
liko wazi hata kwa wale walio na uzoefu kama sio professionals katika uliwengu
wa mapenzi mtu akimpenda mwenzi wake basi kama sio kwa sababu za tamaa tamaa
tu, Huwa ni ngumu kuwa na sababu ya moja
kwa moja iliomfanya au inayomfanya
kumpenda mwenzi wake zaidi inabaki kuwa ni uhalisia usio elezeka kirahisi. Hii
ndio sababu nzito zaidi kwa walio wengi katika upenzi wa mchezo huu
tajwa.Tumepata kusikia matukio mengi yanayoendana na upenzi katika tasnia hii
ya soka, Kama vile watu kujiua kisa timu zao kufungwa, mashabiki kuuawa kisa tu
mashabiki kuwa wengi kuliko ukubwa wa uwanja. Watu kucheza kamari na hata
kujivunia mengi yaliyo ya thamani na hata wengine kusadikika kuwaweka wake zao
rehani kisa tu ni upenzi uliokithiri juu ya mchezo huu mashuhuri zaidi. Lakini
kupitia mchezo huu vijana wengi wanajipatia ajira tena zenye ujira wenye
kuridhisha kabisa na zaidi ni nchi nyingi kufaidika kiuchumi kupita mchezo huu
kama vile kwanjia ya michuano mbalimbali inayowaleta pamoja katika eneo moja
umati wa watu kutoka maeneo mbalimbali nje na eneo husika.
Mengi
yanafanyika katika harakati za kuufanya mchezo huu kuwa bora kila kukicha, baadhi
ya mambo yaliofanyika kupitia mashirikisho ya soka duniani ni pamoja na
kuanzisha soka la wanawake na hata kufikia hatua ya kombe la dunia la wanawake
na hivyo kutanua wigo, nikimaanisha hapo kabla mchezo huu ulikuwa ukiwahusisha
wanaume tu lakini sasa hata wanawake wanajikakamua kwenye pitch. Bila kusahau
Shirikisho la mpira wa miguu ulaya(UEFA) kuboresha maamuzi uwanjani kwa kuweka
vibendera wanne mmoja kwa kila upande wa pitch. Bila kusahau shirikisho la soka
la Uingereza(FA) kuanzisha teknolojia ya goli katika kutambua goli kama ni
halali au la.
Jitihada
pia zinafanyika katika ngazi za vilabu ikiaminika ya kuwa ubora wa mpira katika
timu za taifa unachangiwa zaidi na nguvu kubwa katika vilabu. Katika soka imani
ziko nyingi lakini zaidi ninalotaka kuligusia katika kipengele hiki ni wimbi la
kuwaamini walioishakuwa wachezaji kuwa mameneja katika timu mbalimbali. Jambo
hili linatafsiriwa na wanamichezo kama jambo lenye tija zaidi katika kuleta
ladha kamili kisoka kwani meneja aliyeisha kuwa mchezaji ni wazi ya kwamba
anatambua ni nini kifanyike uwanjani na nani na katika muda gani na mwisho wa
siku kutarajia matokeo mazuri.
Haya
yameshuhudiwa na watabe waliowika enzi
hizo na mwisho wa siku kukabidhiwa mikoba ya ukocha. Baadhi wakiwemo Frank Rijkad aliekuwa
akiifundisha Barcelona na hata kufanya makubwa akiwa na masupa staa kama
Ronaldinho Gaucho na Samwel Eto’o, Akaja Pep Gaudiola
aliyekuwa kiungo mkabaji kipindi cha enzi zake na baadae kuwa kocha
katika timu ya Barcelona B baadae Barcelona ya wakubwa kuanzia mwaka 2008-2012.
Ambapo katika kipindi hicho alifanya maajabu katika tasnia ya soka la vilabu na
baadae katika msimu huu kupewa mikoba ya kuinoa klabu mashuhuri duniani inayosifika kwa mpira wenye hekima nikimaanisha ina wachezaji
wenye sifa za kucheza mpira wenye kasi, nguvu na umakini katika kupiga pasi na
kufunga hawa ni Bayern munich mabingwa watetezi wa kombe la UEFA. Wako makocha
wengi walio aminiwa na kupewa majukumu hayo na walishafanya makubwa kwenye
pitch wakiwemo Meki Mexime ‘’kaptani’’ Seleman Matola, Dunga, Diego Maradona na
wengine wengi. Katika wiki hii tumeshuhudia pia klabu ya Ac Milan ikifanya maamuzi
mazito kwa kumfukuza aliye kuwa kocha wake Massimiliano Allegri na kumkabidhi
mikoba kiungo wa timu hiyo ambaye alikaa kwa kipindi cha miaka kumi mdachi
Clarence Seedorf. Yamesemwa mengi na walio wengi na wengi wao wakitegemea makubwa katika klabu hio
iliyokuwa na mwanzo mbaya katika ligi kuu ya Italia maarufu kwa Serie A.
Hizi
zooooote ni mbwembwe za soka mchezo unaosadikika kuanza kuchezwa katika nchi ya
China (karne ya 2 na 3 Kabla ya Kristu) na kusemekana ya kuwa waingereza ndio
walio boresha mchezo huu kama tunavyo uona hivi leo. Soka ndiyo habari ya mjini
na vijijini, mashuleni na vyuoni, watoto, vijana, rika la kati na hata wazee Kuongelea
soka kila siku.
waandishi wa makala hii
Yossima Sitta (mhariri & afisa habari wa goloso)
Yudathadei Kway (msanifu wa habari za kimataifa wa goloso)
This is how Wenger respond towards Mata transfer to United

manager Arsene Wenger believes Juan Mata's proposed move from Chelsea to Manchester United is unfair and feels the rules of the transfer window should be adapted.
The Frenchman is annoyed that the two clubs involved in the transfer do not have to play each other again this season, but that United will still meet the Blues' title challengers - Liverpool, Manchester City and the Gunners - with Mata in their ranks.
United have prepared a temporary helipad at Carrington as the Spaniard flies in to complete a £37 million club record transfer on Thursday, but Wenger believes the timing is wrong.
"It opens again a little bit the opportunity of this transfer market because Chelsea had already played twice against Man United so they don't play again," he told reporters.
"They could have sold him last week but it opens at least the opportunity [to question] the dates of this transfer window.
"Some teams have already played twice against one opponent and some others not. I think if you want to respect the fairness for everybody exactly the same, that should not happen.
"I just think you would want that everybody is on the same level. Chelsea do not make the rules but maybe the rules should be a bit more adapted to more fairness."
Wenger, who sold Robin van Persie to Manchester United in 2012, is puzzled by the Mata move.
"I am surprised because Juan Mata is a great player and Chelsea sell a great player to a direct opponent," he continued.
Wenger also backed David Moyes to ride out United's rough patch, after the club were knocked out of the Capital One Cup semi-finals by Sunderland on Thursday.
"You have to survive massive disappointments and keep your belief high in what you do because to win is easy for everybody," he added.
"How to live with defeat, that is what managers are about, and David Moyes is strong enough. For me he deals with the situation very well.
"They go through a difficult moment in their season but they can still come back. They are in a strong position in the Champions League and they just bought a great player, so Man United has still to be considered a threat."
Wednesday, 22 January 2014
ABDUUUUUUUUL GOOLOOOOOOOSOOOOOOO ( BLOCK (I) WAKAAAAAAAA)
INTER- BLOCK CUP BLOCK (R) NAO WATINGA FAINAILI
-Vijana kutoka kijijini BLOCK(R) wametinga fainali baada ya kuwafunga WASAFI vijana kutoka mjini mtaa wa pili BLOCK (I) kwa goloso moja kwa bila lililofungwa dak:88 na Abdul
FAINALI
YA WANAUME
BLOCK(H) VS BLOCK (R)
YA WANAWAKE
KOMBAINI ZA
BLOCK(A,D,K) VS BLOCK (L,N,O)
MSHINDI WA TATU
BLOCK (F) VS BLOCK (I)
WAFUNGAJI
5- Danny (block H)
4-masai (block R)
3-mwenga (block H)
-alex (block M)
-enock (block E)
-ibrahim (block F)
MATUKIO YA MECHI YA BLOCK(I) VS BLOCK(R)
-Vijana kutoka kijijini BLOCK(R) wametinga fainali baada ya kuwafunga WASAFI vijana kutoka mjini mtaa wa pili BLOCK (I) kwa goloso moja kwa bila lililofungwa dak:88 na Abdul
FAINALI
YA WANAUME
BLOCK(H) VS BLOCK (R)
YA WANAWAKE
KOMBAINI ZA
BLOCK(A,D,K) VS BLOCK (L,N,O)
MSHINDI WA TATU
BLOCK (F) VS BLOCK (I)
WAFUNGAJI
5- Danny (block H)
4-masai (block R)
3-mwenga (block H)
-alex (block M)
-enock (block E)
-ibrahim (block F)
MATUKIO YA MECHI YA BLOCK(I) VS BLOCK(R)
ABDUL MFUNGAJI WA BAO PEKEE LA BLOCK (R) |
MASAI AKIPIGA GOLI KIKI |
REFA WA MECHI YA LEO AKITETA JAMBO NA KAMISAA WA MECHI |
KOCHA WA BLOCK (R) |
MROPEEEE KAZINI |
KOCHA WA BLOCK (I) AKITOA MAELEKEZO KWA WACHEZAJI WAKE MAJENGA, SANDEE NA MRISHOO |
KOCHA MSAIDIZI WA BLOCK (R) |
FURAHA BAADA YA MECHI |
Tuesday, 21 January 2014
WATOTO WA MWARABU HAOOOOOOOOOOOOOO FAINALI
MATOKEO
BLOCK (F) 2 VS BLOCK(H) 4
wafungaji
block(F)
(joseph dak:30 ibrahim dak:88)
block (H)
(mwenga dak:14 danny dak:22,70 meshack dak:50)
MATUKIO YA MECHI YA LEO
BLOCK (F) 2 VS BLOCK(H) 4
wafungaji
block(F)
(joseph dak:30 ibrahim dak:88)
block (H)
(mwenga dak:14 danny dak:22,70 meshack dak:50)
MATUKIO YA MECHI YA LEO
TIMU ZIKIPATA MAELEKEZO KUTOKA KWA WAANDAAJI |
MWENGA MFUNGAJI WA BAO LA KWANZA LA BLOCK(H) |
DANNY MFUNGAJI WA MABAO MAWILI YA TIMU YA BLOCK(H) |
BLOCK(H) WAKISHAGILIA BAO LA PILI |
JOSSEPH MFUNGAJI WA BAO LA KWANZA LA BLOCK (F) |
MPIRA FITINA: HUYU NI KOCHA WA BLOCK (I) (mwenye shati jeupe) AKITOA MAELEKEZO KWA CAPTENI WA TIMU YA BLOCK(H) |
FITINA FITINA: CAPTENI WA TIMU YA BLOCK(E) NAYE HAKUWA NYUMA KUWAPA HAMASA VIJANA WA BLOCK(F) |
MESHACK MFUNGAJI WA BAO LA TATU |
SAM AKIMPONGEZA MECHACK KWA BAO ZURI |
CHEZEA DANNY (EMMANUEL GOLOTA) AKISHAGILIA BAO LA TATU |
IBRAHIM MFUNGAJI WA BAO LA PILI LA BLOCK(F) |
Subscribe to:
Posts (Atom)