mabao ya Simba kwenye mchezo huo yamefungwa na beki mganda Joseph Owino pamoja na kiungo Amri Kiemba
kiungo Owen Kasule wa URA akilimwa kadi nyekundu kwa kumchezea madhambi Ramadhani Singano messi.
Simba sasa itacheza fainali siku ya Jumatatu na timu ya KCC kutoka UGANDA iliyoitoa AZAM leo jioni kwa mabao 3-2.
SIMBA VS KCC
FAINAL SA2:00 USIKU
UWANJA WA AMANI
LIVE; AZAM TV
0 comments:
Post a Comment