Pages

Saturday, 11 January 2014

INTER BLOCK CUP YASHIKA KASI KATIKA VIWANJA VYA COED

WATOTO WA KARIAKOO BLOCK (E) WAMESHIDA BAO MBILI KWA BILA BLOCK (T) VIJANA WA NQOX
-Mpira ulianza munamo sa 9:15 alasiri kila timu ilianza kwa kumsoma mwenzake lakini kikosi cha block (E) walikuwa wanapiga pasi nzuri zenye macho haikuchukua muda dak;15 mshambuliaji  hatari Kennedy maarufu kama Falcao aliweza kuiandikia timu yake bao la kuongoza, huku vijana kutoka ng`ambo karibu na nqox wakiwa hawana jinsi ya kufanya mpaka mapumziko mtoto wa mjini kutoka kariakoo wakiwa mbele kwa bao moja kwa bila. kipindi cha pili kilianza kwa kasi kila timu ikiwa inatafuta bao la mapema lakini kila timu ilikuwa makini kuokoa hatari katika lango lao. Block(E) walipata pingo baada ya wachezaji wao wawili kupata majeraha na kufanyiwa mabadiliko baada ya kufanyiwa  mabadiliko upepo ukangeuka upande wa pili ambao block T walianza kulisakama lango la block E kama nyuki ila washabuliaji wao hawakuwa makini kutupia bao kambani na wakawa wanakosa mabao ya wazi. dak. ya 80 Enock Nguliule (0zil) aliweza kuwanyanyua mashabiki wa timu ya kwa bao nzuri ambalo aliweza kuchambua ngome ya block (T) pamoja kipa na kufunga bao la pili mpaka mwisho wa mchezo
                            BLOCK (T) 0 VS BLOCK (E) 2
KIKOSI CHA BLOCK (T)
KIKOSI CHA BLOCK (E)

KENNEDY (FALCAO) MFUNGAJI WA BAO LA KWANZA LA BLOCK (E)

ENOCK (OZIL) MFUNGAJI WA BAO LA PILI LA BLOCK (E)

TIMU ZIKISALIMIANA KABLA YA MECHI

KOCHA WA BLOCK (E) MOYES AKITOA MAELEKEZO KWENYE MAPUMZIKO

MSANIFU WA HABARI ZA KIMATAIFA WA GOLOSO  AKITOA MAELEKEZO KWA ENOCK  MCHEZAJI WA BLOCK (E) AMBAYE PIA NI MSHAMBULIAJI WA TIMU YA GOLOSO FC

USHINDI RAHAA WATOTO WA MJINI KARIAKOO BLOCK (E) WAKIFURAHI BAADA YA MECHI

KOCHA WA TIMU YA BLOCK (T) AKITOA MAELEKEZO KWA TIMU YAKEEE

HEKA HEKA LANGONI KWA BLOCK(E)

WANAUME KAZINI

0 comments:

Post a Comment