Thursday, 30 January 2014
MBWANA SAMATA MCHEZAJI BORA WA MWAKA TP MAZEMBE
Mshambuliaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka na mashabiki wa klabu yake ya TP Mazembe katika ya mchezaji bora wa mwaka wa klabu hiyo iliyopewa jina la "Corbeau d'Or". Samatta ambaye amepewa jina la utani la "Samagoal" na mashabiki wa TP Mazembe aliwabwaga wachezaji wengine watano waliokuwa wakishindana.
kura zilikuwa kama ifuatavyo
1. Mbwana Samatta – Kura 248
2. Asante Solomon – Kura 219
3. Robert Kidiaba – Kura 200
4. Nathan Sinkala – Kura 97
5. Rainford Kalaba – Kura 67
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment