kipindi cha pili kilianza kwa kasi kila timu ikitumia mbinu waliopewa na makocha wao ila muda si punde beki kitasa maarufu kama FUSSO(bonge) aliweza kuisawazishia timu yake ya block (s) bao kwa faulo. vijana wa wa block (j) walizidi kuchanganyikiwa kwa kandanda safi lilikuwa linatandazwa kwenye pitch na wazee wa masters ila baada ya timu kufanya mabadiliko ya wachezaji. mpira uliendelea kwa kasi huku block(s) wakionekana mafundi zaid ambao walikuwa hawana pumzi ya kuzunguka ndimba lotekatika viwanja vya COED, ilitokea piga ni kupige ndai ya 18 ya block S ambapo kijana fundi mwenye kipaji cha hali ya juu akaweza kuipatia timu yake bao la kuongoza kwa kichwa, ikiwa watu walishakata tamaa kuwa mechi itaisha kwa mabao 2-1 mshambuliaji mrefu kariba ya akina shikokoti aliyetokea bechi maarufu kama COROUCH mnamo dak ya 85 aliweza kuwanyanyua mashabiki wa timu ya masters kwa kuisawazishia timu yake bao. hadi mwisho wa mpira
BLOCK(S) 2 VS BLOCK(J) 2
![]() |
KIKOSI CHA TIMU YA BLOCK(S) masters |
![]() |
KIKOSI CHA TIMU YA BLOCK (J) |
0 comments:
Post a Comment